ULIMWENGU WA MAWASILIANO TOKA TZ
Wednesday, February 16, 2011
Tuesday, February 15, 2011
KUTOKA UPRESENTER HADI DJ, BONGE MOJA LA SKILLS
HIZI NI NGUVU ZA WATU NA SISI TUJARIBU
hizi ni moja ya studio kali zinazohitajika katika music production industries, japo gharama ni kubwa tujitahidi kujibana na kufanikisha tunakuwa na studio za kisasa na kufanya miziki wa bongo ukafika mbali, mfano halisi ni katika Tamasha lililoisha hivi karibuni kule visiwani zanzibar, kwa baadhi ya vikundi vya Tanzania kufanya vibaya katika Tamasha hilo.
moja ya rangi zilizotamba siku ya tarehe 14 ya mwezi huu
naomi kipangura moja ya mapresenter machachali wanaokuja kwa nguvu ya ajabu katika pozi la valentine
vipaji kama hivi havifai kupotezwa na kuviacha vikiteketa wadau, mnatakiwa kuvifata vipaji vilipo na si kusubili vije anaitwa naomi kipangula, ambae kwa sasa anatarajia kuhitimu elimu ya uandishi wa habari mwezi juni mwaka huu, kutoka Royal college of Tanzania pande za Town ya juu Dar es Salaam, Tz.
Monday, February 14, 2011
Sunday, February 13, 2011
MWANAMKE AFARIKI DUNIA BAADA YA KUPIGWA BUSU KWA MARA YA KWANZA
Jemma Benjamin msichana mwenye umri wa miaka 18 alikuwa kwenye matembezi na mpenzi wake mwenye umri wa miaka 21, mwanafunzi wa chuo kikuu, Daniel Ross.
Mwisho wa matembezi yao, kwa mara ya kwanza katika uhusiano wao wa miezi mitatu, Daniel alimpiga busu Jemma ambaye ghafla baada ya busu hilo alijinyoosha kwenye kiti huku akitoka mapovu mdomoni na kufariki hapo hapo mbele ya mpenzi wake.
Kwa mujibu uchunguzi wa Nuru Fm kupitia mitandao mbalimbali, Jemma alifariki kutokana na ugonjwa wa kifo cha ghafla (Sudden Adult Death Syndrome) ambao hupelekea vifo vya watu 500 kila mwaka nchini Uingereza.
Daniel aliwaambia polisi kuwa kwa mara ya kwanza katika uhusiano wake wa miezi mitatu na Jemma, siku hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kumpiga busu mdomoni.
Akielezea kifo cha mpenzi wake, Daniel amesema kuwa Jemma alifunga macho yake, alianza kutokwa na mapovu mdomoni alijinyoosha kwenye kiti na kufariki dunia.
Familia ya Jemma imesema kuwa imeshtushwa na kifo cha ghafla cha binti yao kwani alikuwa mwenye afya njema na mchezaji mzuri wa mpira wa magongo.
Mwisho wa matembezi yao, kwa mara ya kwanza katika uhusiano wao wa miezi mitatu, Daniel alimpiga busu Jemma ambaye ghafla baada ya busu hilo alijinyoosha kwenye kiti huku akitoka mapovu mdomoni na kufariki hapo hapo mbele ya mpenzi wake.
Kwa mujibu uchunguzi wa Nuru Fm kupitia mitandao mbalimbali, Jemma alifariki kutokana na ugonjwa wa kifo cha ghafla (Sudden Adult Death Syndrome) ambao hupelekea vifo vya watu 500 kila mwaka nchini Uingereza.
Daniel aliwaambia polisi kuwa kwa mara ya kwanza katika uhusiano wake wa miezi mitatu na Jemma, siku hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kumpiga busu mdomoni.
Akielezea kifo cha mpenzi wake, Daniel amesema kuwa Jemma alifunga macho yake, alianza kutokwa na mapovu mdomoni alijinyoosha kwenye kiti na kufariki dunia.
Familia ya Jemma imesema kuwa imeshtushwa na kifo cha ghafla cha binti yao kwani alikuwa mwenye afya njema na mchezaji mzuri wa mpira wa magongo.
MWISHO
Pata info za Dogo Janja toka Kilimanjaro
moja ya wasanii wadogo na machachari na wenye mashairi ya kuwatisha wakongwe katika gemu ya bongo freva nchini Tanzania, anaitwa Dogo janja toka kaskazini pande za A-Tawn kijenge juu, lakini kwa sasa licha ya kujipatia mshiko kwa njia hiyo pia ni mwanafunzi wa kidacho cha kwanza katika shule ya Makongo Secondary School iliyopo jijini Dar es Salaam
Subscribe to:
Posts (Atom)