ULIMWENGU WA MAWASILIANO TOKA TZ

Thursday, May 26, 2011


WASANII WA BONGO FREVA NDANI YA MAISHA CLUB DAR ES-SALAAM 

Sam wa Ukweli



                                                                        TMK Family
                                                                            Allykiba




Tuesday, May 24, 2011

                                  
             Bonta kuzindua ulbum may 27 Morogoro    
                                                                              


 Mkali toka River Camp Soldiers,Bonta atazindua album yake ya Kila ki2 Nyerere,Ijumaa ya tarehe 27 May,2011 pande za 4 Star Club mkoani Morogoro

Hip-Hoper Joh Makini,G-Nako,Nick wa Pili,artist toka THT,PiPi na Hussein Machozi wamepata shavu la kupiga show ya uzinduzi wa album ya Kila Ki2 Nyerere ya Bonta....!



Monday, May 23, 2011

                          Mwanadada ambae ni raper kutoka nchini marekani Miss Eriott

Sunday, May 22, 2011


                                          smart boy na mshikaji flani toka misifas camp
                                   Duly on the stage VIP Club ndani ya usiku wa kiduku

                                                 duly akicheki mafans wke ndani ya VIP

baada ya interview na jstar & k-pesa mbili kilichofata ni pic kabla ya kuelekea VIP club kwa ajiri ya show

Hapa ndani ya show ya Surturday Club ya jstar ndani ya Nuru Fm Radio, smart boy nae alipata wasaa wa kumuuliza duly swali la kizushi pia raaaaaaaaaaaaaaaa!