moja ya wasanii wadogo na machachari na wenye mashairi ya kuwatisha wakongwe katika gemu ya bongo freva nchini Tanzania, anaitwa Dogo janja toka kaskazini pande za A-Tawn kijenge juu, lakini kwa sasa licha ya kujipatia mshiko kwa njia hiyo pia ni mwanafunzi wa kidacho cha kwanza katika shule ya Makongo Secondary School iliyopo jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment