ULIMWENGU WA MAWASILIANO TOKA TZ

Tuesday, February 15, 2011

moja ya rangi zilizotamba siku ya tarehe 14 ya mwezi huu

kudadadeki hii ndio ilikuwa bonge moja la staili ya Valentine day siku ya jana nilijaribu kuchunguza kuanzia uvaaji hadi utokaji wa baadhi ya watu nikagundua kuwa huyu dada alitisha ile mbaya kutoka nyanda za juu kusini Mkoani Iringa, kwa jinsi alivyoulemba mdomo tu no discution kwa hilo.

No comments:

Post a Comment