ULIMWENGU WA MAWASILIANO TOKA TZ

Tuesday, February 15, 2011

HIZI NI NGUVU ZA WATU NA SISI TUJARIBU

hizi ni moja ya studio kali zinazohitajika katika music production industries, japo gharama ni kubwa tujitahidi kujibana na kufanikisha tunakuwa na studio za kisasa na kufanya miziki wa bongo ukafika mbali, mfano halisi ni katika Tamasha lililoisha hivi karibuni kule visiwani zanzibar, kwa baadhi ya vikundi vya Tanzania kufanya vibaya katika Tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment