ULIMWENGU WA MAWASILIANO TOKA TZ

Monday, February 21, 2011

moja ya mastaa wa kibongo

Sagini Majura





 watangazaji wa Nuru Fm Edward Sagini Majura na Shany Mwenga ndani ya studio za Nuru Fn.


 mamito akiwa na pozi za harusi



 dullayo katika pozi

 N2N Army in da house



 moja ya mafansi wa Nuru Fm katikati ni Fady Ze Utamu



Binadamu hawezi lakini mbwa anaweza

utadhani maandamano kumbe wanavuka kutoka Kigamboni hadi Ferry a.k.a Posta


usafiri wa boti wa mv Magogoni ni moja ya kitega uchumi kikubwa na msaada mkubwa wa wanadar es salaam na watu wengine, kinachowawezesha kuvuka kutoka Posta hadi Kigambmboni au kutoka Kigamboni hadi Posta.

ajari mbaya

baadi ya ajari duniani zinavyo gharimu maisha ya watu, jamaa alikuwa ni dereva pikipiki akiwa amekatika na kugawika vipande viwili baada ya kugongano uso kwa uso na gari.