vipaji kama hivi havifai kupotezwa na kuviacha vikiteketa wadau, mnatakiwa kuvifata vipaji vilipo na si kusubili vije anaitwa naomi kipangula, ambae kwa sasa anatarajia kuhitimu elimu ya uandishi wa habari mwezi juni mwaka huu, kutoka Royal college of Tanzania pande za Town ya juu Dar es Salaam, Tz.
No comments:
Post a Comment