Bonta kuzindua ulbum may 27 Morogoro
Mkali toka River Camp Soldiers,Bonta atazindua album yake ya Kila ki2 Nyerere,Ijumaa ya tarehe 27 May,2011 pande za 4 Star Club mkoani Morogoro
Hip-Hoper Joh Makini,G-Nako,Nick wa Pili,artist toka THT,PiPi na Hussein Machozi wamepata shavu la kupiga show ya uzinduzi wa album ya Kila Ki2 Nyerere ya Bonta....!
No comments:
Post a Comment