ULIMWENGU WA MAWASILIANO TOKA TZ

Monday, February 21, 2011

utadhani maandamano kumbe wanavuka kutoka Kigamboni hadi Ferry a.k.a Posta


usafiri wa boti wa mv Magogoni ni moja ya kitega uchumi kikubwa na msaada mkubwa wa wanadar es salaam na watu wengine, kinachowawezesha kuvuka kutoka Posta hadi Kigambmboni au kutoka Kigamboni hadi Posta.

No comments:

Post a Comment