ULIMWENGU WA MAWASILIANO TOKA TZ

Friday, July 22, 2011

NIMEKUJA BONGO KUWASHIKA


Msanii mkali wa hip hop kutoka nchini Kenya Ramadhani chambo anaejulikana kwa jina la Sharama amesema ameamua kuja kufanya uzinduzi wa albamu yake ya vunja winga hapa Tanzania kutokana na kuona ana mashabiki wengi hapa nchini halaf hawajapata kile wanachostahili kutoka kwake
Akizungumza na mwandishi wetu Sharama alikuwa na haya ya kusema “unajua nilikaa na kuona kuwa watanzania ni miongoni mwa mashabiki wangu na ninawapenda sana ndio maana nimeamua kiuja kuwapa kile wanachokihitaji kutoka kwangu”
Sharama ambae kwa sasa yupo hapa bongo akiwa na baadhi ya wasanii wenzake kutoka katika lile kundi la Ukoo Flani Maumau wote kwa pamoja wakiwa wamepiga kambi pale katika studio za Mzuka Record wakipata madini tofauti kutoka kwa mtu mzima Benjamini wa mambojambo
Aliendelea sharama kwa kuwaomba mashabiki wake wote kuhudhuria kwa wingi pale Diamond jubilee siku ya tarehe 23/07 ambapo ndipo atakuwa akizindua albamu yake ya VUNJA WINGA. “mimi ninachowaomba mashabiki wangu wa Tanzania ni kuibuka kwa wingi pale Diamond ili kuona nimewaandalia nini kama zawadi yao maana nina imani kuwa kuna kitu kikubwa mashabiki wangu wanakihitaji kutoka kwangu hivyo na mimi nitawapa siku hiyo”
Sharama pia ameishukuru taasisi isiyo ya kiserikali ya Art In Tanzania kwa kuwezesha mpango mzima wa uzinduzi wake.
Katika uzinduzi huu pia kutakuwa na uzinduzi wa albamu ya HAIELEWEKI yak wake Totoo ze bingwa ambao nao kwa kiasi kikubwa umewezeshwa na kuletwa kwenu na Art In Tanzania
Katika shoo hii watu wazima hawa watasindikizwa na kundi zima la ukoo flani maumau, Abasi kutoka nchini Kenya na kutoka tanzanina watakuwepo 20%, Benjamini wa mambojambo, Zolla D, Sana asana Band na bendi ya Akudo Impact.

WATEULE TOUR IN SOUTH AFRICA with Dj Choka Friday, July 22, 2011

                                                                
Show zinaanza rasmi Jumamosi hii ya tarehe 23 pale Joburg halafu Jumapili ya tarehe 24 tutaelekea Pretoria, baada ya hapo wiki ijayo Jumamosi ya tarehe 30 tutakuwa Cape Town kwenye Vunja Jungu na kuukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani.
Tunawakaribisha watanzania wote pamoja na marafiki zetu wa huku huku South kuja kuona show nzuri kutoka bongo.

Bongo Radio and FunkHouse Entertainment did their annual party in Chicago which included the performances by Wakazi and Gwaii, and also a Fashion Show by African Models, showing coutures of one of the local Chicago designers. Prior to the evening event, people enjoyed a "barbeque at the beach" event where everyone met and enjoyed the free treatment provided by the orginizers. Be on the Look out for the Video of the performance



Thursday, May 26, 2011


WASANII WA BONGO FREVA NDANI YA MAISHA CLUB DAR ES-SALAAM 

Sam wa Ukweli



                                                                        TMK Family
                                                                            Allykiba




Tuesday, May 24, 2011

                                  
             Bonta kuzindua ulbum may 27 Morogoro    
                                                                              


 Mkali toka River Camp Soldiers,Bonta atazindua album yake ya Kila ki2 Nyerere,Ijumaa ya tarehe 27 May,2011 pande za 4 Star Club mkoani Morogoro

Hip-Hoper Joh Makini,G-Nako,Nick wa Pili,artist toka THT,PiPi na Hussein Machozi wamepata shavu la kupiga show ya uzinduzi wa album ya Kila Ki2 Nyerere ya Bonta....!



Monday, May 23, 2011

                          Mwanadada ambae ni raper kutoka nchini marekani Miss Eriott

Sunday, May 22, 2011


                                          smart boy na mshikaji flani toka misifas camp
                                   Duly on the stage VIP Club ndani ya usiku wa kiduku

                                                 duly akicheki mafans wke ndani ya VIP

baada ya interview na jstar & k-pesa mbili kilichofata ni pic kabla ya kuelekea VIP club kwa ajiri ya show

Hapa ndani ya show ya Surturday Club ya jstar ndani ya Nuru Fm Radio, smart boy nae alipata wasaa wa kumuuliza duly swali la kizushi pia raaaaaaaaaaaaaaaa!

Saturday, May 14, 2011

Watangazaji wa Radio Nuru Fm mkoani iringa kushoto ni Shani Mwenda na Zulfa Shomary 

Mtu mzima jstar na Shani Mwenda katika pozi nje ya Radio